TYK.
Picha zinazo mwonesha Philipo na towashi zimekuwa nyingi sana (3). Na ile picha ya kwanza inayoonesha kitabu cha hadithi ya towashi na Philipo haifanani na zile mbili wakati hawa watu wawili wamesimuliwa kukutana mara moja tu kwenye Biblia. Basi mchoraji wa picha mbili za kusoma Biblia na kubatizwa angenakili sura iliyoko kwenye kitabu ili mahusiano yasionekane ni ya kusadikika na kumbe ni kweli. La sivyo sura ya kitabu isingeoneshwa na badala yake ingewekwa link ya kwenda kwenye kitabu chenyewe kwa mtu anayehitaji kukisoma.
Masomo ya misa
Comment on Masomo ya Misa Aprili 18 by Henry Budodi Magwisha
on