In reply to Henry Budodi Magwisha.
Milele Amina… Asante Sana Ndugu Henry Kwa Kutuandikia. Tusamehe sana, tulipatwa na Tatizo la kiufundi, hatukuweeza kushughulikia shida hii kwa wakati. Hata hivyo tunaomba uendelee kutuandikia ili tuweze kuboresha zaidi kurasa yetu.