Ee Mungu utujalie unynyekevu na utii mbele zako huku tukiutamba upendo wako mkuu kwetu hadi ukamtoa mwanao Yesu kristo atumikie mateso hadi kufa Msarabani
Tunaomba uturehemu Ee Bwana. Na utujarie maisha ya kuheshimu upendo wako na uwezo wa kuthibiti tamaa zetu zote zilizo mbaya
Kwa hayo. Naamini utatujaalia sawasawa na mapenzi yako kwetu. Amina….