Habari
Taifa Stars yaja na jezi mpya ya AFCON 2023
on

Enjoy Free Music, Audio, Video, Tanzania Music, Kenya, Uganda, Rwanda, Ghana, Nigeria here at Number One Music Platform in Tanzania
Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetambulisha jezi mpya kwaajili ya Michuano ya AFCON 2023.
Tanzania Sweetheart @wemasepetu ni miongoni mwa model ambao wametokelezea kwenye picha za jezi hizo.
Uzi huo unauzwa tsh 45,000 katika maduka ambayo TFF wameyatangaza kupitia post zao.
Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1056
Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1060