Habari

Rais Samia amwondoa Kusaya Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya

By

on

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya baadhi ya viongozi kwa kuwateua Makatibu Tawala wa Mikoa watatu (3) na kuwahamisha vituo vya kazi wengine watatu (3).

Rais Samia pia amemteua Ally Senga Gugu kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, kabala ya uteuzi huu, Gugu alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na amemteua Tixon Tuyangine Nzunda kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro akichukua nafasi ya Willy Machumu ambave amestaafu.

Rais pia amemhamisha Fatuma Ramadhani Manga, kutoka Mkoa wa Dodoma kwenda kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Singida akichukua nafasi ya Dorothy Aidan Mwaluko ambaye amestaafu, Rashid Kassim Mchata, amehamishwa kutoka Mkoa wa Rukwa kwenda kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Pwani akichukua nafasi ya Zuwena Omari Jiri ambaye amehamishiwa Mkoa wa Lindi akichukua nafasi ya Ngussa Samike ambaye atapangiwa kazi nyingine.

About mzigotv

Nyimbo Mpya 2022, Mp3 Mp4 Mzigotv, Audio, Video Mpya, Tanzania Mp3, Tanzania trending songs, Nyimbo Mpya 2022, 2021, Download Audio Mzigotv, Alikiba Mp3, Video, Dj mwanga, nyimbo mpya za wiki hii dj mwanga, Rayvanny, Harmonize, Diamond Platnumz, Alikiba, Jux, Nandy, Zuchu, Lavalava, Mbosso, Bekaboy, Yingamedia, Diamond Platnumz Songs 2022


Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1056

Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1060

Recommended for you