Habari

Kocha wa Yanga Cedric Kaze Atakiwa Taifa Stars Kusaidia

By

on

Kocha wa timu ya taifa Taifa Stars, Adel Mrouche amepewa nafasi ya kuchagua wataalamu 4 atakaoambatana nao kwenye timu ya taifa kama sehemu ya benchi lake la ufundi, Kocha huyo amependekeza jina la kocha msaidizi wa klabu ya Yanga, Cedric Kaze kuwa chaguo lake la kwanza.

Ikumbukwe Cedric Kaze alifundishwa na kocha Adel Mrouche. Mrouche ni mkufunzi wa shirikisho la soka Ulaya UEFA kwenye kozi ya UEFA pro license.
Tayari klabu ya Yanga imeshapokea ombi hilo kutoka TFF, kinachosubiriwa kwa sasa ni maamuzi ya muhusika. Klabu imempa baraka zote Cedric Kaze iwapo ataamua kujiunga na timu ya taifa.

About mzigotv

Nyimbo Mpya 2022, Mp3 Mp4 Mzigotv, Audio, Video Mpya, Tanzania Mp3, Tanzania trending songs, Nyimbo Mpya 2022, 2021, Download Audio Mzigotv, Alikiba Mp3, Video, Dj mwanga, nyimbo mpya za wiki hii dj mwanga, Rayvanny, Harmonize, Diamond Platnumz, Alikiba, Jux, Nandy, Zuchu, Lavalava, Mbosso, Bekaboy, Yingamedia, Diamond Platnumz Songs 2022


Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1056

Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1060

Recommended for you