Habari
Chama Mchezaji Bora Kombe la Klabu Bingwa Afrika
on

Enjoy Free Music, Audio, Video, Tanzania Music, Kenya, Uganda, Rwanda, Ghana, Nigeria here at Number One Music Platform in Tanzania
KIUNGO wa Simba SC, Clatous Chama amechaguliwa na Shirikisho la Soka Afrika CAF, kuwa mchezaji bora wa wiki wa Klabu Bingwa Afrika, baada ya kufanya vizuri katika mchezo wa nne wa makundi dhidi ya Vipers SC.
Chama amewashinda Ahmed Zizo wa Zamalek, Peter Shalulile wa Mamelodi Sundowns na Walid Sabbar wa Raja.
Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1056
Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1060