Habari

CEO wa TikTok: Nimewazuia watoto wangu kutumia!

By

on

Enjoy Free Music, Audio, Video, Tanzania Music, Kenya, Uganda, Rwanda, Ghana, Nigeria here at Number One Music Platform in Tanzania

Mkurugenzi Mtendaji wa TikTok, Shou Zi Chew amedai kuwa watoto wake haja waruhusu kutumia ‘App’ hiyo kwa kuwa ni wadogo.

Alipoulizwa kuhusu umri wa watoto wake, Chew amesema snap wawili mmoja miaka sita na mwingine miaka nane.

Shou Zi Chew amewashauri wazazi na watu wazima kutumia kwa uangalifu TikTok na kufuatilia kipengele kinachoitwa ‘Familia Pairing.’

Uchunguzi wa kitaifa dhidi ya programu hii ulitangazwa mwaka 2022 kutokana na hatari inayowakabili Watoto na Vijana.

Mtoto wako umemruhusu kutumia.?

About mzigotv

Nyimbo Mpya 2022, Mp3 Mp4 Mzigotv, Audio, Video Mpya, Tanzania Mp3, Tanzania trending songs, Nyimbo Mpya 2022, 2021, Download Audio Mzigotv, Alikiba Mp3, Video, Dj mwanga, nyimbo mpya za wiki hii dj mwanga, Rayvanny, Harmonize, Diamond Platnumz, Alikiba, Jux, Nandy, Zuchu, Lavalava, Mbosso, Bekaboy, Yingamedia, Diamond Platnumz Songs 2022


Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1056

Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1060

Recommended for you