Habari

Burna Boy Kufanya Show Kwenye Fainali za Ligi ya Mabingwa UEFA

By

on

Enjoy Free Music, Audio, Video, Tanzania Music, Kenya, Uganda, Rwanda, Ghana, Nigeria here at Number One Music Platform in Tanzania

Nyota wa Muziki kutoka Nigeria na Mshindi huyo wa Tuzo ya #GRAMMY ametajwa na UEFA kuwa atafungua Fainali za michuano hiyo zitakazofanyika Juni 10, 2023 huko Istanbul, Nchini Uturuki

Ligi ya Mabingwa kwa sasa ipo katika hatua ya Robo Fainali, huku timu 8 za AC Milan, Inter Milan, Napoli, #ManchesterCity, #Chelsea, Bayern Munich, Benfica, na Mabingwa Watetezi #RealMadrid zikipangwa kuwania nafasi ya kuitwa Bingwa wa Ulaya
Ni Msanii gani kutoka Tanzania unatamani afikie ‘level’ alizopo Burna Boy?

About mzigotv

Nyimbo Mpya 2022, Mp3 Mp4 Mzigotv, Audio, Video Mpya, Tanzania Mp3, Tanzania trending songs, Nyimbo Mpya 2022, 2021, Download Audio Mzigotv, Alikiba Mp3, Video, Dj mwanga, nyimbo mpya za wiki hii dj mwanga, Rayvanny, Harmonize, Diamond Platnumz, Alikiba, Jux, Nandy, Zuchu, Lavalava, Mbosso, Bekaboy, Yingamedia, Diamond Platnumz Songs 2022


Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1056

Notice: Trying to get property of non-object in /home/tjsxvbmy/public_html/wp-content/themes/osage/functions.php on line 1060

Recommended for you